Baada ya majaribio ya muda mrefu sasa WhatsApp iko tayari kuleta sehemu mpya ya Two Step Verification, sehemu hiyo ambayo iliyokua ikifanyiwa majaribio kwenye programu ya WhatsApp Beta sasa imekuja kwa watumiaji wote wa programu hiyo.
Sehemu hiyo kwa sasa ni sehemu ya muhimu sana kutokana na kuongeza ulinzi imara kwenye programu hiyo, jinsi ya kuwasha sehemu hiyo utaingia kwenye programu ya WhatsApp kisha ingia kwenye Account Settings kisha utaona sehemu hiyo mpya ambapo utatakiwa kutengeneza password yenye tarakim nne ambazo utazitumia kila utakapo taka kusajili programu hiyo kwenye kifaa kingine.
WhatsApp imeleta njia hii wakati muafaka kwani itazuia watu ku-hack akaunti za watu wengine kwani kila unapotaka kuwasha programu hiyo kwenye simu nyingine utauliza namba hiyo ambayo kama umeisahau utaipata kwa njia ya email yako. Harakisha sasa update programu yako ya WhatsApp kisha ingia kwenye settings na angalia kama sehemu hiyo ya Two Step Verification imekuja na kama imekuja hakikisha unaiwasha haraka kuongeza ulinzi kwenye programu yako ya WhatsApp.
Sehemu hiyo kwa sasa ni sehemu ya muhimu sana kutokana na kuongeza ulinzi imara kwenye programu hiyo, jinsi ya kuwasha sehemu hiyo utaingia kwenye programu ya WhatsApp kisha ingia kwenye Account Settings kisha utaona sehemu hiyo mpya ambapo utatakiwa kutengeneza password yenye tarakim nne ambazo utazitumia kila utakapo taka kusajili programu hiyo kwenye kifaa kingine.
WhatsApp imeleta njia hii wakati muafaka kwani itazuia watu ku-hack akaunti za watu wengine kwani kila unapotaka kuwasha programu hiyo kwenye simu nyingine utauliza namba hiyo ambayo kama umeisahau utaipata kwa njia ya email yako. Harakisha sasa update programu yako ya WhatsApp kisha ingia kwenye settings na angalia kama sehemu hiyo ya Two Step Verification imekuja na kama imekuja hakikisha unaiwasha haraka kuongeza ulinzi kwenye programu yako ya WhatsApp.
Comments :
Post a Comment
write to us your views on this