Ifahamu simu mpya ya LG G6

 LG imezindua simu mya ambayo skrini yake ni kubwa na ambayo inaweza kutumiwa njia tofauti kwa wakati mmoja.
Simu hiyo LG G6 ina mfumo wa 18:9 badala ya mfumo wa 16:9 ambao unatumiwa na simu nyingi.
Hii ina maana kuwa skrini hiyo inaonekana kubwa kuliko kawaida.
LG imekiri kuwa simu iliyozinduwa awali ya G5 ilishindwa kufikia malengo yake ya mauzo



Simu hiyo ilizinduliwa mjini Barcelona kabla ya kuanza kwa mkutano wa simu za mkononi duniani.
Skrini ya LG G6 ina upana wa sentimita 14.5 ikilinganishwa na skrini ya sentimita 13.5 ya LG5.
Simu hiyo mya pia inawewa kuzamishwa ndani ya maji hadi muda wa nusu saa bila ya kukumbwa na tatizo lolote. 



Sifa za LG G6

1. Battery 4200 mAh
2. Camera Features Optical image stabilization plus, Dual LED, geo tagging, facial recognition, 3D front and back camera element, auto laser focus
3. Camera – Front 7.0 Megapixels
4. Camera – Rear 24 Megapixels
5. Colors Black, Blue, Copper, Gold, White
6. Features Bendable display, Corning Gorilla Glass 4, 4G LTE, Bluetooth 5.0, fingerprint scanner, retina eye scanner, wireless charging, rapid charging, waterproof, mini projector, stylus
7. Memory 32, 64, and 128 GB internal memory and expandable to 128 GB with dual micro SD cards
8. Operating System Current Android 6.0 Operating System
9. Price $750 USD, 688 Euro
10. Processor Snapdragon Qualcomm Octa-core 3.0 GHz processor
11. RAM 5 GB RAM
12. Release Date September 2017
13. Screen Display 5.6” 4K display with a 4096 x 2160 screen resolution. 


Simu hii mpya ya LG G6 Inategemewa kutoka kwa muda tofauti kwa kila nchi kwa hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla tegemea kuiona kuanzania mwezi May Mpaka June (mwezi wa Tano mpaka wa sita). LG G6 ni moja kati ya simu zenye sifa bora pengine kuliko simu zingine kutoka kampuni hiyo kwa sasa.

Comments :

Post a Comment

write to us your views on this

Interested to get more of our Update !